Description
Mshehereshaji Meneja wa Maadili wa Baraza la Habari Tanzania( MCT), Bw. Allan Lawa, akiwakaribisha wageni waalikwa kwenye maadhimisho ya siku ya Redio Duniani yaliyofanyika Kitaifa mkoani Dodoma. Maadhimisho hayo yameandaliwa na Baraza la Habari Tanzania (MCT) na kufadhiliwa na UNESCO.
***
Mr. Allan Lawa, Manager of Ethics of the Media Council of Tanzania (MCT, welcomed guests to the celebration of World Radio Day held in Dodoma, Tanzania. These celebrations have been prepared by the Media Council of Tanzania (MCT) and sponsored by UNESCO.
***
Habari zaidi / More information (in Swahili):
http://dewjiblog.com/2014/02/14/redio-nyingi-hazina-habari-za-usawa-wa-kijinsia-umoja-wa-mataifa/
| Credibility: |
 |
 |
0 |
|